Sunteți pe pagina 1din 3

MCL The Citizen Mwanaspoti Nation Monitor Digital Paper Ingia Mwanzo Contacts Email

KLM Tickets to Tanzania Frequent return flights with KLM Check our special offers & deals! www.klm.com/USA/Tanzania
University of Phoenix® Accredited Bachelor’s, Master's and Doctoral Degree Programs. Get Info. Phoenix.edu
K 12 Education Jobs Take steps in becoming a teacher. Find schools offering K-12 degrees! MyEduSeek.com
Thu 10 Feb 2:43AM

Tafuta... Mwanzo Habari Biashara Michezo Burudani Ajira Uchambuzi Jumapili Makala Picha Tangaza RSS

Home Biashara Biashara za Kitaifa Serikali yakubali kulipa 94 bilioni Dowans BOOKMA RK THIS PA GE

Serikali yakubali kulipa 94 bilioni Dowans Send to a friend


Thursday, 06 January 2011 20:03
©
© OSM
OSM &&cntrbs,
cntrbs, CC-BY-SA
CC-BY-SA
Raymond Kaminyoge 0 Related Results
SERIKALI imeamua kuilipa kampuni ya Dowans
Tanzania Ltd, Sh 94 bilioni kama ilivyoamuliwa Business Wills!
na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi (ICC) Useful links for Business Wills.
na kuwataja wamiliki na wakurugenzi wa
kampuni hiyo ambao wote si Watanzania. http://www.InternetCorkboard.com

Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja alisema hayo Business In


jana jijini Dar es Salaam, katika mkutano wake na Find Info on Business In!
waandishi wa habari. http://www.smarter.com
Alisema Sh.185 bilioni zilizokuwa zikitajwa kwenye vyombo
vya habari ndizo ambazo kampuni ya Dowans iliiomba ICC
ilipwe fidia kwa Tanesco kwa kukatiza mkataba walioingia Tanzania Visa Service
Get a visa for travel to Tanzania. Easy form s. Rush
wa kufua umeme, lakini mahakama iliafiki ilipe dola 65 service available.
milioni za Marekani. travisa.com
Cheap Calls to Tanzania
Alisema fedha hizo zitalipwa baada ya pande hizo zitasajili O nly 12.9¢/m in, No Hidden Charges. 100% Call
uamuzi huo katika mahakama kuu. Q uality. Sign Up Now!
CallTanzania.com
Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja “ Serikali tumekwishaamua kuwa tutailipa Dowans dola za Volunteer in Tanzania
Marekani 65 milioni, kama ilivyoamuliwa na ICC ambazo ni Mak e a real difference in Tanzania. 3-12 week
sawa na Sh 94 bilioni, kuchelewa kuwalipa kutatufanya tulipe riba ya asilimia 7.5,” alisema. program s, year-round.
www.CrossCulturalSolutions.org
“ Siyo kwamba kiasi tunachotakiwa kulipa ni kidogo, ila tumeona ni muhimu Watanzania wakafahamu kiasi halisi Plan a Tanzanian Safari
ambacho tunatakiwa kuilipa Dowans,” alisema. Receive No-O bligation Suggestions W ithin 6 hours
from the Ex perts.
Safari365.com
Alisema wameamua kulipa baada ya mwanasheria mkuu wa serikali, kusema kuwa hukumu hiyo ilikuwa halali na
kuipinga kungeizidishia serikali gharama.
“Mwanasheria mkuu wa serikali ameshauri kutekeleza uamuzi wa mahakama ya usuluhishi endapo uamuzi huo
utasajiliwa katika mahakama kuu ya Tanzania,” alisema Ngeleja. Kupiga Kura Jumapili

Aidha Ngeleja aliwataja wamiliki wa Dowans Tanzania Ltd, na hisa wanazomiliki katika mabano kuwa ni Dowans
Holding S.Aya Costa Rica (81) na Portek Systems and Equipment (PTE) LTd (54). Sakata la Dowans, nani alaumiwe ?
Rais Jakaya Kikwete
Aidha Waziri Ngeleja huku akirejea barua ya Wakala wa Usajili wa Kampuni (Brella), aliwataja wakurugenzi na nchi Baraza la mawaziri
wanazotoka kuwa ni Andrew James Tice (Canada) na Gopalakrishnan Balachandaran (India). Wabunge wa CCM
Wakurugenzi wengine kwa mujibu wa Waziri Ngeleja ni Hon Sung Woo (Singapore), Guy Picard (Canada), Sulaiman Wabunge wa upinzani
Al Adawi (Oman) na Stanley Munai (Kenya). Wanasheria na Mawakili
Shirika la Umeme (Tanesco).
Kiini cha sakata hilo kilianza mwaka 2006, wakati Tanesco ilipoingia mkataba wa mauziano ya umeme wa Tanesco
na kampuni ya Richmond Developmen LLC. Vote Results

Miezi sita baadaye mkataba huo ulihamishiwa kwa kampuni ya Dowans Holdings ya nchini Costa Rica na baadaye
kwa Dowans Tanzania Ltd,
Wakati wa utekelezaji wa mkataba huo, ilizuka hoja kutoka kwa watu mbalimbali wakiwemo wabunge kwamba
mkataba baina ya Tanesco na Richmond haukuwa halali kisheria hivyo usingeweza kurithiwa na Dowans.
Suala hilo lilizua mjadala mkubwa hali ambayo Tanesco kwa kuwatumia mawakili wa kampuni ya RexAttorneys ya
jijini Dar es Salaam walivunja mkataba huo.
Baada ya kuvunjwa kwa mkataba huo, ndipo kampuni hiyo ikalipeleka suala hilo ICC kama walivyokubaliana na
Tanesco kwenye mkataba.
Uamuzi huo wa ICC ulizua mjadala katika siku za hivi karibuni baada ya viongozi wa serikali kutofautiana kuhusu
kuilipa kampuni hiyo au kutoilipa.
Wakati Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Samwel Sitta, akiitaka serikali kutolipa Dowans kwa kuwa kufanya hivyo
ni uhujumu wa nchi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema akitaka kampuni hiyo ilipwe.

Add this page to your favorite Social Bookmarking websites

Comments

#10 MWANAHARAKATI 2011-01-07 16:23 0


madhara yote haya ni tatizo la siasa za Bunge(lililocha nganyika wasomi na vihiyo) zilivyoingilia utendaji wa
kitaalamu..
Quote

#9 chendavema 2011-01-07 16:10 +1


Hakika ujasusi huu unaofanywa na serikali ya CCM kutaka haraka haraka kuwalipa Dowans, mbeleni

converted by Web2PDFConvert.com
Hakika ujasusi huu unaofanywa na serikali ya CCM kutaka haraka haraka kuwalipa Dowans, mbeleni
utawatokea puani kwa vile Watanzania tunataka kuirudisha nchi mikononi mwetu badala ya mafisadi
wachache. Machozi ya maskini wa nchi hii ni juu ya CCM. Saa yaja kila mmoja wenu atatafuta pakukimbilia
asipaone.
Quote

#8 m.ali 2011-01-07 14:16 +2


Editor wa gazeti la mwananchi, sisi watanzania tunataka kujuwa hawa jamaa wa Dowans watalipa kodi ya
mapato ya hizo billioni 95. Na waziri haja tuambiya vipi hawa Dowans walirithi mkataba kwa njiya gani. Ni
lazima TRAishughulikiye kodi zote wanazodaiwa Dowans
Quote

#7 smartboy 2011-01-07 12:58 -1


Hapa hakuna njia ya mkato kutokuilipa Dowans haiwezekani. Sheria ishachukua mkondo. Wakulaumiwa si
Ngeleja wala Warema.. ni wanasiasa na wanaharakati wetu uchwara. Ushauri wa TAnesco ulikuwa bora
kununua mitambo ya dowans na kuachana nao. sidhani km hili lingefanyika tungeingia hasara kubwa km hii.
Quote

#6 wa bukoba 2011-01-07 12:41 +2


Mheshimiwa Ngereja tunashukuru kwa kuwataja wenye kampuni hii, lakini ikumbukwe kwamba kama investor
wanatoka nje ya nchi wanakuwa na mzawa ambaye anatakiwa kuwa na 10% katika mradi huo, sasa twambie
nani kutoka Richond mpaka Dowans, hili ndilo swali watanzania wanataka kujua.Katika riport ya Mwakyembe
ilionekana Richmond ni kampuni ambayo haikuwepo ndiyo maana waziri mkuu na mawaziri wakajiuzuru na
kusababishwa kuvunjwa baraza la mawaziri, sasa ilikuwaje Tanesco wakaingia mkataba na kampuni ambayo
bunge lilisema ni hewa? nani huyu aliyeruhusu hili?je Tanesco walivyotaka kununua mitambo, kama hili
lingekubalika Downs wangeenda kuishitaki Tanesco? jibu litakuwa hapana, sasa hawa kwanini wanalipwa ?
na kwanini wasifirisiwe? na kufanya utafiti kuona kama majina yanayotajwa yapo kweli?kwani hii inawezekana
watu wakaweka majina yasiyokuwepo kwani hata Richmmond haikuwepo lakini serikali ilisema ilikuwepo na
kutetewa na Dr Hosea kwamba mkataba haukuwa na marashi ya rushwa, labda hili lilitokea kwa Hosea
kusema hivyo kwani kila mmoja amekubali kwamba weekleaks imeonyesha kwamba inawezekana hata
Dawns haipo kama Richmond au bado Richmond inafanyakazi katika mgongo wa Dawns lakini Takururu
hawawezi kuoji kwani rais wa nchi hataki vigogo na marafiki zake kushitakiwa, ili ni kweli kwani kagoda yupo
wapi? lakini yupo anafahamika na usalama wa Taifa lakini hawezi kuguswa kwani ni mtu wa chama na
mpambe wa rais, hali hii inaanza kufanya nchi kuyumba yumba, hakuna msimamo wa kiungozi nchi
imeachwa watu wafanye wanavyotaka, kwanini Dawans inalipwa haraka kwani ndo kampuni inaidai serikali
tu?
Quote

#5 V.W of Dar 2011-01-07 10:52 0


hivi jamani nchi hii itaendelea kuwa shamba la bibi mpaka lini?
nauliza na nataka nijibiwe!
mbona walimu,wasaafu wa ilyokuwa jumuiya east africa hawajalipwa stahiki zao muda mrefu lakini leo hii
ghafla mnawalipa wajanja Dowans!hata kama ni halali sasa kuwalipa,hao waliofanya haya madudu ya
kuliingiza taifa Tanzania wataendelea kuachwa hadi lini??????????????nauliza na ninataka jibu!
Quote

#4 Mpingo 2011-01-07 10:36 +1


Haya majina ya wakurugenzi mbona kama ya kuungaunga? Ngoja tuyachimbue zaidi. Mmoja kama sikosei
alikwisha ikana Dowans siku nyingi!
Quote

#3 Maganiko 2011-01-07 10:34 0


As a matter of fact Ngugi quoted what is written in the Bible in John 12:24
"Verily, verily, I say unto you, Except a grain of wheat fall into the earth and die, it abideth by itself alone; but if it
die, it beareth much fruit"
Quote

#2 PMN 2011-01-07 10:24 +2


Serikali kwa ujumla na watendaji wake - Welema na Ngeleja wamekubali watanzania kulipia gharama
ambazo hatujazitumia. Yaani kweli watanzania tunakubali kulipa Kampuni ambayo Bunge lilisema imerithi
Mkataba hewa?? Hivi nchi hii inatawaliwa na watu wenye elimu kweli au ni vibaraka wa kuhujumu uchumi wa
nchi yetu tu?? Kwani msiweke wazi hukumu hiyo na sisi tukaona namna kesi ilivyoendeshwa na tuone kama
kweli Wanasheria wa serikali walitaka kuwa Dowans ililirithi Mkataba Feki? Au Bunge liko wapi katika maamuzi
haya?? Ama kweli huu ni mpango wa Mradi Mkuu wa Nchi uitwao Chukua Chako Mapema (CCM. Huku
tunalala gizani lakini Dowans wanalipwa?? Hivi Rais wetu uko wapi katika hili??
Quote

#1 weba 2011-01-07 07:22 0


Mbegu isipokufa ikaoza Haiwezi kuzaa Kamwe! Ngugi Wa Thiong'o alisema kwenye " The Grain of Wheat".
Quote

Refresh comments list

Add comment

Tumia jukwaa ili kutoa maoni ambayo yatasaidia kulijenga taifa letu. Kumbuka, maoni yako yatapitiwa kwanza
kabla hayajarushwa hewani!!!!!!

Name (required)

E-mail

converted by Web2PDFConvert.com
7000 sym bols left

Notify me of follow -up comments

Refresh

Send
JComments

Ads by Google Nafasi Za Kazi Kazi Tanzania


Ads by Google Bongo Tanzania Tanzania Music
Ads by Google Prestamos Ya Adelgazar Ya

Home Habari Biashara Michezo Uchambuzi Makala Kazi Advertise with Us About Tanzania Picha Privacy Policy Help Terms Contact

Us Links

© 2007 - 2010 Mwananchi. All Rights Reserved. Aproduct of Mwananchi Communications Ltd.

converted by Web2PDFConvert.com

S-ar putea să vă placă și