Documente Academic
Documente Profesional
Documente Cultură
Taarifa Nambari 1
DISEMBA, 2013
YALIYOMO
1.3 HITIMISHO........................................................................... 13
SEHEMU YA SITA....................................................................... 64
SEHEMU YA SABA...................................................................... 83
ii
VIFUPISHO
Ag J Acting Judge
AICC Arusha International Conference Centre
All ER All England Reports
CCM Chama cha Mapinduzi
CDA Capital Development Authority
DAWASA Dar es Salaam Water and Sewerage Authority
EA East Africa Law Reports
EACA Eastern Africa Court of Appeal Reports
EWURA Energy and Water Utilities Regulatory Authority
IFM Institute of Finance Management
JKT Jeshi la Kujenga Taifa
JWTZ Jeshi la Wananchi wa Tanzania
LRT Law Reports of Tanzania
Mf. Mfululizo
MSD Medical Store Department
NACTE National Council for Technical Education
NECTA National Examinations Council of Tanzania
NEMC National Environmental Management Council
NSSF National Social Security Fund
PPRA Public Procurement Regulatory Authority
PSPF Public Service Pensions Fund
QB Queen’s Bench Reports
RE Revised Edition
SSRA Social Security Regulatory Authority
STAMICO State Mining Corporation
SUMATRA Surface and Marine Transport Authority
TACAIDS Tanzania Commission for Aids
TAKUKURU Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa
TCAA Tanzania Civil Aviation Authority
TCRA Tanzania Communications Regulatory Authority
TEMCO Tanzania Election Monitoring Committee
TIC Tanzania Investment Centre
TLR Tanzania Law Reports
TPDC Tanzania Petroleum Development Corporation
TRA Tanzania Revenue Authority
Uk. Ukurasa
iii
VETA Vocational Education and Training Authority
W.L.R. Weekly Law Reports
iv
Katiba na Sheria Zilizorejewa
Katiba
v
Mikataba ya Kimataifa
Sheria
The Dar es Salaam Institute of Technology Act, Cap 144 [RE 2002].
vi
The Fair Competition Act, Cap 285.
The National Council for Technical Education Act Cap 129 [R.E
2002].
The National Land Use Planning Commission Act, Cap 116 [R.E
2002.
vii
The National Social Security Act, Cap 50 [RE 2002].
The National Social Welfare Training Institute Act, Cap 110 [R.E
2002].
The Public Service Pensions Fund Act, Cap 371 [R.E 2002].
The Social Security (Regulatory Authority Act, 2008.
The Tanzania Commission for Science and Technology Act, Cap 226
[R.E 2002].
viii
The Tanzania Institute of Education Act, Cap 142 [R.E 2002].
The Tanzania Wildlife Research Institute Act, Cap 260 [R.E 2002].
The Tropical Pesticides Research Institute Act, Cap 161 [R.E 2002].
ix
The State Motor Corporation (Establishment) Order, [G.Ns. Nos.72 of
1974 and 82 of 1975].
Kesi Zilizorejewa
Council of Civil Service Unions v Minister for Civil Service [1984] 3 All
ER 935.
x
Permanent Secretary (Establishments) and another v Hilal Hamed
Rashid and 4 others [2005] TLR 121.
xi
xii
UTANGULIZI
Maelezo ya Ujumla
Hii ni taarifa ya utafiti uliofanywa kuhusiana na madaraka ya Rais
wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Katiba na sheria
mbalimbali zimempa Rais mamlaka ya aina mbalimbali yakiwemo
mamlaka ya kuigawanya nchi katika mikoa, kuwaweka watu
kizuizini, kuwafukuza watu kutoka eneo moja kwenda eneo lingine
(deportation), kulivunja Bunge, kutunga sheria ndogo, kuanzisha
au kuzifuta ofisi za umma, na madaraka mengine mengi. Hata
hivyo, utafiti ulilenga vipengele vya madaraka ya Rais ambavyo
vimejitokeza katika maoni ya wananchi. Vipengele hivyo ni
madaraka ya uteuzi, madaraka ya kutangaza hali ya hatari,
madaraka ya kutoa misamaha ya adhabu, uwajibikaji na udhibiti
wa madaraka ya Rais, na nafasi ya Rais wakati wa uchaguzi.
Historia Fupi
Kama ilivyoelezwa hapo juu, Rais wa Tanzania anayo mamlaka
mengi. Kwa kiwango kikubwa mamlaka hayo ni matokeo ya
historia ya nchi. Tanzania ilitawaliwa na Waingereza mara baada ya
Vita Kuu ya Pili ya Dunia mwaka 1918 mpaka ilipopata uhuru
mwaka 1961. Wakati wote huo, mwakilishi wa Mfalme wa
Uingereza, Gavana alikuwa na mamlaka yote ya Mkuu wa Nchi,
Mkuu wa Serikali na Amiri-Jeshi-Mkuu. Gavana alitawala kama
alivyopenda ili kufikia malengo ya ukoloni. Gavana alikuwa ni
mwajiri mkuu mwenye uwezo wa kuunda na kufuta ofisi kadiri
alivyoona inafaa, alikuwa na uwezo wa kuajiri na kufukuza
watendaji wa Serikali. Gavana aliteua Mawaziri Majaji na watendaji
wa Mahakama. Ardhi yote ilitangazwa kuwa ni mali ya umma chini
ya udhamini wa Gavana kwa niaba ya Mfalme wa Uingereza.
Madaraka mengine yalikuwa ni kusamehe wafungwa, kuhamisha
watu kutoka sehemu moja ya nchi kwenda sehemu nyingine.
Gavana alikuwa na uwezo wa kutoa amri ya watu kuhamishwa
kutoka ndani ya nchi kwenda nje ya nchi1.
1961.
4 Kifungu cha 54.
xiv
anavyoona inafaa1; kuteua Majaji akiwemo Jaji Mkuu na Tume ya
Utumishi wa Mahakama.2
Taarifa
Taarifa hii ya utafiti imegawanywa katika sehemu kuu nane
zifuatazo: madaraka ya Rais na sababu zake, mamlaka ya kutoa
misamaha (prerogative of mercy), mamlaka ya kutangaza hali ya
hatari, nafasi ya Rais wakati wa uchaguzi, udhibiti wa madaraka ya
Rais na uwajibikaji, kinga ya Rais kushtakiwa, mamlaka yake ya
uteuzi na muhtasari wa mapendekezo.
kutoka kwa Mkandawire, T.(2011). Running While Others Walk: Knowledge and
the Challenge of Africa’s Development in Africa Development, Vol. XXXVI, No. 2,
2011, pp. 1– 36.
xv
Katika kuangalia madaraka ya uteuzi ya Rais utafiti ulipitia sheria
mbalimbali. Kwa kweli orodha ya wateule wa Rais ni ndefu. Orodha
hiyo ipo mwishoni mwa sehemu ya saba ya Taarifa hii. Katika
kuangalia madaraka mengine kama madaraka ya kutoa misamaha,
kutangaza hali ya hatari, utafiti ulijielekeza kujua ni kwa nini
kiongozi wa nchi anapewa madaraka kama hayo, namna
yanavyotekelezwa, changamoto na hatimaye mapendekezo ya
namna Katiba mpya inavyoweza kushughulikia changamoto hizo.
Kwa mfano, kuna maoni kuwa Rais aondolewe madaraka ya kutoa
misamaha ya adhabu (prerogative of mercy). Rais amepewa
madaraka ya kutoa misamaha (prerogative of mercy) ya adhabu kwa
“mtu yeyote” anayetumikia “adhabu yoyote” kuhusiana na “kosa
lolote.” Anaweza akapunguza adhabu kwa masharti au bila
masharti; anaweza akaibadilisha adhabu kuwa tahafifu au kuifuta
yote kabisa. Utafiti ulijaribu kuangalia na hatimaye kupendekeza
namna ya kuboresha utekelezaji wa madaraka hayo.
xvi
SEHEMU YA KWANZA
1.1.1 Utangulizi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Mkuu wa Nchi,
Kiongozi wa Serikali na Amiri-Jeshi-Mkuu.1 Majukumu haya
yanamfanya awe na madaraka makubwa ambayo wakati mwingine
yamezua hoja kuwa madaraka hayo ni makubwa sana kwa mtu
mmoja na yanahitaji kupunguzwa. Mkuu wa nchi ni kiongozi
mwenye madaraka ya kisiasa na kiutawala ya ngazi ya juu katika
nchi. Kiongozi wa nchi ni mtendaji mkuu wa kisiasa katika nchi,
mara nyingi akiongoza baraza la mawaziri. Sehemu hii itaainisha
madaraka yanayoambatana na nafasi hizi. Kwa kuanzia, sehemu
hii itaainisha aina kuu za wakuu wa nchi zilizopo katika dunia ya
sasa kabla ya kuangalia majukumu ya kiasili ya mkuu wa nchi bila
kujali mfumo wa kisiasa wa nchi. Kisha, sehemu hii itazungumzia
majukumu ya kiasili ya kiongozi wa serikali. Mwisho, sehemu hii
itaangalia asili ya Madaraka ya Rais kama yalivyo leo hii katika
katiba ya Tanzania.
Pili, kuna mkuu wa nchi ambaye hana madaraka yeyote hata yale
ya kinadharia. Nafasi yake kubwa ni kuwa alama ya nchi na
mshikamano wa watu wa Taifa husika. Nchi zinazofuata mfumo
huo ni pamoja na Japan na kwa kiwango fulani Sweden. Mathalan,
ibara ya 1 ya Katiba ya Japan inatamka kuwa Mfalme wa Japan ni
alama ya nchi na mshikamano wa wananchi, “The Emperor shall be
the symbol of the State and of the unity of the People, deriving his
position from the will of the people with whom resides sovereign
power. " 1
1 Palmer, M., (1997), Comparative Politics: Political Economy, Political Culture, and
Political Interdependence, F.E. Peacock Publishers, Inc. Soma pia, Hauss, C.,
(1999), Comparative Politics: Domestic Responses to Global Challenges, 3rd
Edition, Wadsworth.
2 Charles de Gaulle, Mémoires de guerre, tome 1, Plon, 1954.
3 The Queen's role in Canada, Royal Household. Retrieved on 2013-08-01.
3
inasema: “The President shall exercise the power to pardon
individual offenders on behalf of the Federation; wakati Ibara ya 17
ya Katiba ya Ufaransa inasema: The President of the Republic is
vested with the power to grant individual pardons.” Tafsiri ya katiba
hizi mbili ni kuwa Rais amepewa madaraka ya kusamehe watu
waliotiwa hatiani kwa niaba ya nchi.
Arena, State Politics & Policy Quarterly, Vol. 3, No. 2 (Summer, 2003), pp. 158-
182.
4
mfumo wa Kirais kama Marekani na Brazil ambapo mkuu wa nchi
vilevile ni kiongozi wa serikali, mkuu wa nchi hufanya uteuzi kwa
nafasi za juu za uongozi wa umma kama vile mawaziri na majaji
kama anavyoona yeye, isipokuwa, kwa baadhi ya nchi kama
Marekani uteuzi wake huthibitishwa na Bunge.
5
wa Vienna inatambua kuwa mabalozi wa nchi za kigeni ni lazima
wakubalike na mkuu wa nchi inayowapokea.
6
kuwa: The President is the commander-in-chief of the armed forces,
shall preside over the Supreme Council of Defense established by
law, and shall make declarations of war as have been agreed by
Parliament. Maana yake ni kuwa, Rais atakuwa ni Amiri
JeshiMkuu, akiongoza baraza la Ulinzi lililowekwa kisheria na
kwamba Rais atatangaza vita kadiri ya maamuzi ya Bunge. Vile vile
katika katiba ya Kanada, inatamka kuwa Amiri-Jeshi-Mkuu wa
Majeshi yote ya Kanada yatakuwa chini ya Malkia.1
8
Kama ilivyotajwa hapo juu, pamoja na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania kuwa ni Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa
Serikali na Amiri-Jeshi-Mkuu, utamaduni wa chama tawala (CCM)
umekuwa pia ukimpa Rais kofia ya kuwa ni Kiongozi Mkuu wa
Chama chake. Kama tulivyoona miongoni mwa majukumu ya
Mkuu wa nchi ni pamoja na kuwa nembo ya umoja na
mshikamano wa wananchi wote (A symbol of national unity and
solidarity). Hivyo, ingawa utamaduni wa Rais kuwa pia kiongozi wa
chama unaweza kuwa ulifaa katika mfumo wa chama kimoja,
ndani ya mfumo wa vyama vingi, utaratibu unaweza ukaathiri
nafasi ya Rais kama alama ya umoja na mshikamano wa wananchi
wote. Mfano, Rais anapotembelea eneo fulani la nchi huku akiwa
amevaa nembo za chama chake, ni rahisi kwa wananchi wasio
wanachama wa chama chake kujisikia kuwa siyo kiongozi wao.
Kama Mkuu wa nchi Rais anapaswa kuwa alama ya umoja na
mshikamano wa kitaifa, na kiongozi wa wananchi wote katika
muda wote.
Journal of Conflict Resolution, Vol. 12, No. 3 (Sep., 1968), pp. 269-284, p.273.
3 Coulson, Andrew, (1982), Tanzania: A Political Economy, Oxford University
11
by grabbing colonial powers without any consideration of
ethnic groups or geographical realities, so that these countries
now include within their borders tribal groups which, until the
coming of the European powers, had never been under one
government…”1
1.3 HITIMISHO
Sehemu hii imeainisha madaraka ya Rais kwa ujumla. Imejaribu
kuonyesha baadhi majukumu makuu ya kiasili (traditional roles)
yanayoambatana na ofisi ya Rais. Rais ni Mkuu wa Nchi, Kiongozi
wa Serikali na Amiri-Jeshi-Mkuu. Kama mkuu wa nchi baadhi ya
majukumu ya Rais ni pamoja na kuwa mtendaji mkuu wa Serikali,
mwanadiplomasia mkuu, mwakilishi mkuu wa wananchi, n.k.
Ingawa majukumu ya viongozi wa nchi yanafanana, utawala na
aina ya uongozi unatokana na utamaduni, historia, na mazingira
ya nchi husika. Hivyo, madaraka ya sasa yanaakisi changamoto,
mazingira na historia ya nchi.
2.1.1 Hoja
Kuna hoja kuwa madaraka ya Rais ya kuwasamehe wafungwa na
kupunguza adhabu zao yaondolewe. Sababu kadhaa zinatolewa
katika kuunga mkono hoja hii. Kwanza, kuna watu wanafikiri kuwa
madaraka hayo hayana maana kwa sababu wanaosamehewa ni
watu ambao walipewa adhabu kwa mujibu wa sheria. Pili, kuna
wengine wanafikiria kuwa madaraka hayo yamekuwa yakitumiwa
vibaya na kwa upendeleo fulani. Tatu, kuna maoni kuwa rushwa
hutolewa huko magerezani ili wahusika wapendekezwe kupewa
msamaha au wapunguziwe adhabu na Rais. Nne, kuna watu
wanaona kuwa kuwasamehe watu waliopewa adhabu na
Mahakama kwa mujibu wa sheria, Rais huingilia utendaji wa
Mahakama. Tano, kuna maoni kuwa msamaha umekuwa
ukiwaachilia wahalifu hatari ambao huleta matatizo makubwa
katika jamii.
15
kuibadilisha adhabu yoyote aliyopewa mtu yeyote kwa kosa
lolote iwe adhabu tahafifu;
on
http://homepages.ihug.co.nz/~ttpbst/me/writing/mercy.htm
16
ilichukuliwa kuwa ni yake. Kama anavyoeleza David Tait, kwa
kawaida Mfalme alitoa msamaha siku ya sherehe ya kutawazwa
kwake (coronation) au wakati wa sikukuu zingine za umma.1
Utamaduni huu umeigwa na kufuatwa katika nchi nyingi ikiwemo
Tanzania ambapo Rais hutoa msamaha wakati wa sikukuu ya
Muungano (Aprili 26) na uhuru (Desemba 9).
hivyo.
3 John Locke, Two Treatises of Civil Government, 425 kama iliyonukuliwa katika
California Law Review, Vol. 89, No. 6 (Dec., 2001), pp. 1665-1720, p.1673-4.
6 James Iredell alinukuliwa akisema: "[T]here may be many instances where,
though a man offends against the letter of the law, yet peculiar circumstances in
17
Rais anaweza kutumia madaraka ya msamaha kumwondolea
adhabu mtu au watu fulani ambao kufungwa kwao au
adhabu yao ni chanzo cha maandamano, machafuko au uasi
ili kurudisha amani na utulivu au kuleta mwafaka kati ya
Serikali na kundi fulani1;
his case may entitle him to mercy. It is impossible for any general law to foresee
and provide for all possible cases that may arise .... ." [Harold J. Krent,
“Conditioning the President's Conditional Pardon Power”, in California Law
Review, Vol. 89, No. 6 (Dec., 2001), pp. 1665-1720, p.1674].
1 Harold J. Krent, “Conditioning the President's Conditional Pardon Power”, in
California Law Review, Vol. 89, No. 6 (Dec., 2001), pp. 1665-1720, p.1674.
2 Kama ilivyo juu, p.1674.
3 Kama ilivyo juu, p. 147.
4 Kama ilivyo juu.
5 Kama ilivyo juu.
18
misamaha. Tofauti na Katiba ya sasa ambayo haijaweka mipaka
yoyote, Katiba ya Uhuru ilimtaka Gavana ashauriwe na Waziri
mahsusi kabla ya kutekeleza mamlaka ya kutoa msamaha.1
Vilevile, kabla ya kufanya uamuzi kuhusiana na kesi za kijeshi
Gavana alitakiwa ashauriane na Waziri mwingine.2 Hali kadhalika
Katiba hiyo ilianzisha Kamati ya Ushauri (Advisory Committee)
ambayo pia iliwajibika kumshauri Gavana kuhusiana na misamaha
ya huruma.3
19
mamlaka ya kusamehe adhabu kwa huruma (prerogative of mercy).
Tofauti na Katiba ya Uhuru ya Tanganyika, Katiba ya Nchi ya
Zanzibar ya Mwaka 1963 haikumtaka Sultani ashauriane na mtu
wala chombo chochote kile. Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1979
ilimpa Rais wa Zanzibar mamlaka mapana kutoa misamaha ya
adhabu.1 Rais alipewa mamlaka ya kutoa misamaha kwa masharti
au bila masharti kwa “mtu yeyote” aliyetiwa hatiani na “Mahakama
yoyote” kuhusiana na “kosa lolote.”2 Kama ilivyokuwa Katiba ya
Nchi ya Zanzibar ya Mwaka 1963, Katiba ya Zanzibar ya Mwaka
1979 haikumtaka Rais ashauriwe na mtu au chombo chochote.
Uamuzi uliachwa kwake yeye mwenyewe.
Katiba inaeleza kuwa “Mbali na kuzingatia masharti yaliyomo katika Katiba hii
na katika sheria za Jamhuri ya Muungano katika utendaji wa kazi na shughuli
zake, Rais atakuwa huru na hatalazimika kufuata ushauri atakaopewa na mtu
yeyote, isipokuwa tu pale anapotakiwa na Katiba hii au na sheria nyingine yoyote
kufanya jambo lolote kulingana na ushauri anaopewa na mtu au mamlaka
yoyote.”
21
Katiba imetoa madaraka mapana sana kwa Rais yanayofanya
udhibiti wa madaraka hayo usiwezekane. Rais amepewa
madaraka ya kusamehe, kubadilisha, au kupunguza “adhabu
yoyote” aliyopewa “mtu yeyote” kuhusiana na “kosa lolote.”
Katiba haielekezi Rais atoe sababu yoyote kuhusu maamuzi
yake. Madaraka haya hayaendani kabisa na utamaduni wa
utawala wa sheria au falsafa ya sasa inayotaka kuwe na
“utawala wa kikatiba” (constitutionalism) ambao hakuna mtu
anayepewa madaraka yasiyo na mipaka.
1 Ibara ya 11, kifungu cha 2 cha Katiba ya Marekani inaeleza, “The President
shall be commander in chief of the Army and Navy of the United States, and of
the militia of the several states, when called into the actual service of the United
States; he may require the opinion, in writing, of the principal officer in each of
the executive departments, upon any subject relating to the duties of their
respective offices, and he shall have power to grant reprieves and pardons for
offenses against the United States, except in cases of impeachment.”
22
yalifuata mtindo wa Mfalme wa Uingereza kutoa misamaha na kwa
hiyo Rais wa Marekani hajawekewa mipaka katika kutekeleza
mamlaka hayo.1 Ili kujua ni kwanini Katiba ya Marekani iliweka
utaratibu wa namna hii ni vizuri kudodosa kidogo kilichotokea
ndani ya mkutano wa kikatiba (constitutional convention) wa Mwaka
1787. Inaelezwa kuwa kulikuwa na ubishani mkali miongoni mwa
wajumbe kuhusiana na suala hili.2 Kuna wajumbe hawakutaka
Rais apewe madaraka hayo ya “kifalme.” Kuna wengine walitaka
Rais apewe mamlaka lakini yadhibitiwe. Lakini Alexander Hamilton,
mjumbe aliyetaka mfumo wa Urais wenye nguvu (strong presidency)
kama Mfalme, na anayeelezewa kuwa alikuwa mzungumzaji mahiri,
alisimama na kunena;
Tradition”, in Polity, Vol. 35, No. 3 (Apr., 2003), pp. 389-418, p. 404. Vile vile
angalia David Tait, “Pardons in perspective: The role of forgiveness in criminal
justice”, p.5, on http://www.canberra.edu.au/ncf/events/pardonsperspective.pdf
3 John Dinan, “The Pardon Power and the American State Constitutional
Tradition”, in Polity, Vol. 35, No. 3 (Apr., 2003), pp. 389-418, p. 404. Vile vile
angalia David Tait, “Pardons in perspective: The role of forgiveness in criminal
justice”, p.5, on
http://www.canberra.edu.au/ncf/events/pardonsperspective.pdf.
23
Uingereza. Kwa sababu hiyo Katiba ya Marekani inatoa madaraka
mapana ya kutoa msamaha yasiyodhibitiwa.1
Mulligan – if you haven’t shot Barney D. – yet – don’t. A. Lincoln’ [angalia David
Tait, “Pardons in perspective: The role of forgiveness in criminal justice”, p.5, on
http://www.canberra.edu.au/ncf/events/pardonsperspective.pdf.]
3 Harold J. Krent, “Conditioning the President's Conditional Pardon Power”, in
California Law Review, Vol. 89, No. 6 (Dec., 2001), pp. 1665-1720, pp.1666-
1667. Angalia pia, Charles Shanor & Marc Miller “Pardon Us: Systematic
Presidential Pardons”, Federal Sentencing Reporter, Vol. 13, No. 3-4, Pardon
Power and Sentencing Policy(November/December 2000 - January/February
2001), pp. 139-146, p.140.
24
maamuzi ya Rais na kuwapa wananchi fursa ya kujadili busara ya
maamuzi ya Rais. Kama maamuzi ni mabaya basi Rais
atawajibishwa kisiasa uchaguzi ukifika. Katika nchi yetu hali ni
tofauti kwa sababu mambo mengi hufanyika bila wananchi
kufahamu kinachoendelea. Hali hii inatoa mwanya wa kuyatumia
madaraka hayo vibaya.
2.2.2 Kenya
Katiba mpya ya Kenya ya Mwaka 2010 imebakisha madaraka ya
Rais ya kutoa misamaha lakini imefanya mabadiliko makubwa
kuhusiana na madaraka ya aina hiyo.1 Kwanza, Katiba imeruhusu
mtu yeyote kuomba apewe msamaha. Pili, Katiba imeunda Kamati
ya Ushauri kuhusiana na misamaha.2 Tatu, Kamati ya Ushauri
inajumuisha watu wasio watumishi wa Serikali ambao watakuwa
huru na kwamba wajumbe wasio watumishi wa Serikali ni wengi
zaidi kuliko wale wa Serikali.3 Nne, Rais atalazimika kuamua
kufuatana na ushauri ailiopewa na Kamati ya Ushauri.4 Tano,
Katiba imeondokana na lugha ya kuyaita madaraka ya namna hii
kama “prerogative of mercy”, lugha ambayo kwa asili yake
inamaanisha “madaraka ya kipekee au maalum ya kifalme.” Badala
yake, madaraka haya yameitwa “power of mercy” (madaraka ya
kutoa msamaha wa huruma). Madaraka ya kifalme yatumikavyo
atakavyo Mfalme mwenyewe hayana nafasi katika nchi ya
kidemokrasia na inayofuata utawala wa sheria.
26
kutoka gerezani na kumtafuta shahidi aliyesikia ushahidi mpya au
kuwaomba Polisi wamtafute na hata wakiombwa inawezekana
wasitoe ushirikiano; kwa sababu miaka mingi itakuwa imeshapita
ndugu zake wanaweza kuwa wamemsahau au wameamini kuwa
atakuwa amekwisha kunyongwa. Kikwazo kingine ni kuwa watu
wanaosubiri adhabu ya kifo hawapewi fursa ya kuwasiliana na
ndugu zao. Hivyo, hatoweza hata kujua kuwa muuaji halisi
amejulikana. Katika mazingira ya namna hii, jirani mmoja mwenye
imani na ujasiri, na anayeelewa utaratibu, anaweza kwenda
kumwona au kumwandikia Rais na hatimaye kumuokoa. Utaratibu
huu ni rahisi kuliko ule wa Mahakamani ambao ni mrefu na wenye
gharama nyingi.
27
Kwa utamaduni wa kiafrika kumkaidi mzee siyo jambo la kawaida;
ni balaa kubwa. Hivyo, Juma aliamua kutoroka nyumbani na
kukimbilia kwa ndugu walio kijiji kingine. Huko nako mambo
hayakumwendea sawia, majoka yalimtokea na katika tukio moja
joka lilijiviringisha kwenye mguu wake. Alipoenda kwa “fundi”
(yaani “mganga”) aliambiwa baba yake ndiye alikuwa akimletea hizo
balaa zote. Baada ya hapo alikata shauri kurudi nyumbani ili
akamwombe baba yake msamaha. Alipofika tu baba yake
alimwambia, “huwezi kunikimbia wewe!” Alinena asamehewe lakini
msamaha haukupatikana. Baba yake alikuwa na hasira sana.
Mahusiano yao yaliharibika. Siku moja, watu hawa wawili
waligombana. Mara tu baada ya ugomvi ule tumbo la Juma
liliumuka/kuvimba na kuwa kubwa kwa ghafla. Mama yake
alikimbilia kwa mjumbe wa nyumba-kumi (balozi) na kumuomba
akamsihi Mzee Mhogomchungu amponye mwanae. Baada ya balozi
kuingilia kati, uvimbe wa tumbo ulitoweka.
Baada ya kisa hicho, Juma alianza kuona kuwa maisha yake yapo
hatarini. Aliwaza kuwa alikimbia nyumbani ili apate usalama lakini
haukupatikana; alirudi nyumbani kuomba msamaha lakini
msamaha nao haukupatikana. Hivyo, siku moja alichukua shoka,
akamvizia baba yake aliyekuwa amelala, na kumkatakata kichwani
hadi kufa. Alikamatwa na kushtakiwa kwa kosa la mauaji. Sheria
haitambui utetezi wa mtu kuua ili kujikinga na uchawi. Msimamo
wa sheria na Serikali ni kuwa uchawi haupo.1 Kutokana na
mazingira haya, Jaji (Kwikima, Ag J) aliyesikiliza kesi hii aliingiwa
na huruma sana lakini hata hivyo alisema hakuwa na namna ya
kumsaidia kwa sababu ilibidi afuate sheria. Alimtia hatiani kwa
kosa la mauaji na kumtangazia adhabu yake kuwa atanyongwa
hadi afe. Mwishowe, katika hukumu yake, Jaji alimwombea Juma
ili Mungu amsaidie katika safari yake ili Mtukufu Rais aweze
kumsaidia. Aidha, alipendekeza mabadiliko ya sheria.2
believed, believe and will continue to believe in witchcraft even if literacy were to
become universal tomorrow morning. Science and technology have yet to explain
the natural puzzles and phenomena which are peculiar to Africa. And judging
from very low and slow pace of our technological advancement, these beliefs shall
remain with us for quite sometime.” He then decided to grab the bull by its horns
28
Kesi hii ni kielelezo kuwa madaraka ya msamaha ni muhimu. Mtu
anaweza kuchukuliwa hatua za kisheria lakini jamii
inayomzunguka haitaki achukuliwe hatua. Kwa kiasi fulani,
utekelezaji wa sheria inabidi uzingatie maoni ya jamii vinginevyo
sheria haitoheshimika na vyombo vya utekelezaji wa sheria
havitaungwa mkono.
in the following words: “Should we not therefore face this fact and adjust the law
accordingly? It is time to re-examine the law on this point.”
29
Katika upelelezi wao Polisi walipekua nyumba yao na kukuta barua
nne ambazo ziliandikwa na mtuhumiwa kabla ya kunywa sumu.
Katika barua mojawapo alindika hivi: “KWA YEYOTE
ANAYEHUSIKA: Uamuzi niliochukua ni wa kudumu, mume wangu
George asisumbuliwe au kuteswa au kukabiliwa kwa namna yoyote
ile kwa sababu nilimpenda. Nimewachukua watoto kwa sababu
sikutaka wapate shida kama niliyopata mimi. Upweke unatisha.
Mume wangu George hukuelewa ni kiasi gani nilivyokupenda
nilipokuwa hai. Lakini sasa utaelewa. KWA OFISA WA POLISI:
Tafadhali usichukue hatua yoyote dhidi ya mume wangu kwa
sababu hana kosa.”
30
kitatokea kesho, kesho kutwa na miaka ishirini ijayo. Mara nyingi
sheria haitofautishi kesi moja na nyingine zinazoweza kutokea
katika mazingira tofauti. Ni akili ya binadamu ndiyo inayoweza
kutofautisha na kusema, “kesi hii imetokea katika mazingira tofauti
na inafaa kushughulikiwa kwa namna tofauti.”
2.4 MAPENDEKEZO
Sababu zilizoainishwa hapo juu zinaonyesha mamlaka ya kutoa
msamaha ni muhimu na kiongozi wa nchi anastahili kuendelea
kuwa na mamlaka ya aina hii. Inaelekea malalamiko mengi
yanasababishwa na maoni kuwa madaraka ya aina hii yanaweza
kutumika kuwasamehe watu ambao jamii huona hawastahili
kusamehewa. Hivyo basi, Katiba mpya iweke udhibiti wa madaraka
ya msamaha ili yasiweze kutumika vibaya. Ili kufanikisha hili,
tunatoa mapendekezo haya:
31
mamlaka ya asili ya kifalme (prerogative powers)
yanavyotumika.1 Na katika shauri jingine, R. v Secretary of
State for the Home Department, ex parte Bentley, [1994] Q.B.
349, ilielezwa kuwa msamaha unaweza kuhojiwa
Mahakamani kwa utaratibu wa marejeo (judicial review).2
1 Haya ndiyo maneno ya Jaji Roskill: “If the executive in pursuance of a statutory
power does an act affecting the rights of a citizen, it is beyond question that in
principle the manner of the exercise of that power may today be challenged. If the
executive acting under a statutory power acts under a prerogative power… so as
to affect the rights of a citizen, I am unable to see that there is any logical reason
why the fact that the source of the power is prerogative and not statutory should
today deprive the citizens of that right of challenge to the manner of its
exercise….To talk of the act as an act of the sovereign speaks of anarchism of the
past centuries.”
2 Shauri hili limenukuliwa katika B. V Harris, “Judicial Review, Justiciability and
the Prerogative of Mercy”, in The Cambridge Law Journal, Vol. 62, No. 3 (Nov,
2003), pp. 631-660, p. 650.
32
SEHEMU YA TATU
3.1.1 Hoja
Kuna maoni kuwa mamlaka ambayo Rais amepewa na Katiba
yaondolewe. Na kuna watu wengine wanaosema kuwa madaraka
hayo yapunguzwe.
was signed in 1950 and came into force in 1953, the International Covenant on
Civil and Political Rights (ICCPR) was signed in 1966 and came into force in in
1976 and the American Convention on Human Rights6 (ACHR) was signed in 1969
and came into force in 1978
4Tanzania ilisaini ICCPR tarehe 11 Juni 1976
34
mfupi. Hii ina maana kuwa tangazo la hali ya hatari liwe ni la muda
maalumu na linaweza kuongezwa tu kwa utaratibu uliowekwa na
sheria1.
Affairs and Justice of the United Republic of Tanzania during the consideration of
Tanzania`s Fourth Periodic Report on the International Covenant on Civil and
Political Rights (ICCPR) to the United Nations Human Rights Committee Geneva,
Switzerland, 13 - 14 July 2009, p.13.
36
hatua za kipekee ili kurejesha amani na usalama; au karibu
kutatokea tukio la hatari; au tukio la balaa; au la baa la
kimazingira ambalo linatishia jamii; au sehemu ya jamii katika
Jamhuri ya Muungano; au kuna aina yeyote ya hatari ambayo ni
dhahiri ni tishio kwa nchi[Ibara ya 32(2)]. Mfumo huu unatumiwa
pia na nchi kama Urusi na Marekani.
Pili, viwango vya kimataifa vinataka kutolewe taarifa kwa Taifa juu
ya tangazo la hali ya hatari. Hali ilivyo ni kwamba ; Rais lazima
apeleke nakala ya tangazo la hali ya hatari Bungeni ili lijadiliwe na
kuidhinishwa na Wabunge wasiopungua theluthi mbili ya wajumbe
wote[Ibara ya 32(3)]. Hapa, Bunge lina wajibu wa kudhibiti
madaraka ya Rais yasitumike vibaya au bila sababu ya msingi.
37
Kama inavyoonekana hapo juu, madaraka ya kutangaza hali ya
hatari unazingatia vigezo na misingi ya sheria za kimataifa. Na kwa
kweli mfumo uliopo Tanzania unatumika na nchi zingine nyingi
duniani ikiwemo Marekani, Uingereza, Uganda, Namibia na Urusi.
1809-1829: The University of Chicago Law Review, Vol. 67, No. 1 (Winter, 2000),
pp. 1-40.
5 Burgin, E.,(1992). Congress, the War Powers Resolution, &the Invasion of
Panama. Polity, Vol. 25, No. 2 (Winter, 1992), pp. 217-242
38
Sheria inamtaka Rais apeleke Taarifa Bungeni ndani ya
masaa 48 pale ambapo hakuna vita lakini kuna uwezekano
wa kupeleka majeshi kwenye maeneo yenye uwezekano wa
kutokea vita, akieleza mazingira, mamlaka na wigo wa
matendo anayokusudia kufanya1.
3.2 MWISHO
Rais ana madaraka makubwa ya kutangaza hali ya hatari. Hata
hivyo, madaraka hayo ni muhimu ili kumuwezesha kukabiliana na
hatari kubwa inayolikabili Taifa. Kama alivyowahi kusema
Mwanafalsafa wa zamani wa Kiitaliano, Machiavelli, nchi ambazo
wakati wa hatari zitaacha kutumia njia za kiimla kukabiliana na
hatari hizo zitaweza kusambaratika.4
4.1.1 Hoja
Kuna maoni ya watu wengi kuwa wakati wa uchaguzi Rais asishike
madaraka. Wengi wanaotoa maoni ya aina hiyo wanapendekeza
kuwa Jaji Mkuu ashike madaraka wakati wa uchaguzi. Sababu za
mapendekezo ya namna hii ni tatu. Kwanza, ni vigumu kwa vyama
vya upinzani kushindana na Rais au chama chake kwa sababu
Rais anakuwa na mamlaka ya kidola na anaweza hata kuamuru
wakamatwe au kuzuiwa kufanya kampeni. Pili, Rais anapokuwa
madarakani wakati wa uchaguzi hutumia rasilimali za Kiserikali
kuendesha uchaguzi. Kuwepo kwake madarakani kunampa nafasi
kuwaamuru watumishi wengine kutoa vifaa kama magari na vitu
vingine vitumiwe na chama tawala wakati wa uchaguzi. Kwa
ujumla hoja ni kuwa hakuna usawa wa ushindani (level playing
ground) inapotokea kuwa mgombea mmojawapo anakuwa na
mamlaka ya Serikali au chama kimoja kuwa na mwanachama au
kiongozi ambaye ameshika mamlaka ya dola wakati wa uchaguzi.
1 High Court (Tabora Registry) (sitting at Nzega) Miscellaneous Civil Cause NO. 10
of 2011(unreported).
2Ibara ya VII Kifungu cha 15 cha Katiba ya Jamhuri ya Ufilipino ya Mwaka 1987
kinasema, “Two months immediately before the next presidential elections and
up to the end of his term, a President or Acting President shall not make
appointments, except temporary appointments to executive positions when
43
ya Kenya imemzuia mtu anayekaimu madaraka ya Rais kufanya
uteuzi wa maofisa fulani au kutekeleza madaraka fulani ya Rais
wakati wa uchaguzi.1 Inaelekea Katiba hizi mbili zinazuia matumizi
mabaya ya madaraka wakati uchaguzi lakini hazisemi kuwa Rais
hatakuwa madarakani wakati wa uchaguzi.
4.2 MAPENDEKEZO
Kutokana na sababu zilizoainishwa hapo juu inapendekezwa kuwa
Katiba itamke kuwa Rais aendelee kuwa madarakani kama ilivyo
katika Katiba ya sasa. Lakini Katiba inatakiwa kufanya yafuatayo
44
ili kushughulikia matatizo yaliyosababisha watu kusema asiwe
madarakani wakati wa uchaguzi;
Sheria ya Uchaguzi, Kanuni za Uchaguzi (The Election Code of
Conduct) na Sheria ya Gharama za Uchaguzi zinazuia
matumizi ya rasilimali za Serikali katika uchaguzi. Rais ndiye
kiongozi nambari moja anayetakiwa kusimamia utekelezaji
wa sheria za nchi. Anapochaguliwa kuwa kiongozi wa nchi
ina maana anaaminiwa na wananchi kuifanya kazi hiyo kwa
uaminifu, na anaapa kuilinda Katiba na kufuata sheria.
Anatakiwa kuwahimiza viongozi wa juu, Mawaziri na
watumishi wegine wa Serikali kufuata sheria. Hivyo, akikiuka
kiapo chake Mahakama iwe na uwezo wa kuufuta uchaguzi.
Uchaguzi ukifutwa, Tume ya Uchaguzi iitishe uchaguzi
mwingine ambao hautamjumuisha Rais. Bila shaka, kurudia
uchaguzi ni gharama kubwa kwa nchi ambayo watu wake ni
maskini kama Tanzania. Hata hivyo, kupotea kwa haki ni
gharama kubwa zaidi kwa sababu watu wanaweza
kuchinjana na nchi kuingia kwenye machafuko makubwa.
45
SEHEMU YA TANO
1Montesquieu, 1748. L’Esprit des Lois, Book XI. The quotation is from Finer,
Herman, 1965. Theory and Practice of Modern Government. London: Methuen &
Co Ltd, pp 94-95
46
madaraka makubwa sana kuliko anayohitaji kutekeleza majukumu
yake itaathiri umadhubuti wa mfumo mzima wa kisiasa wa nchi.
1977
6 Kama ilivyo juu, Ibara ya 51(1).
47
kwa idadi anayotaka1, Mwanasheria Mkuu wa Serikali2,
Mkurugenzi wa mashtaka3, Katibu Mkuu Kiongozi,
Wakuu wa Mikoa4, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa
Halmashauri zote nchini5, Mkurugenzi wa Taasisi ya
Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)6, Wakuu
wa Majeshi7, Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania na Tume
ya Uchaguzi8; Kamishna wa Tume ya Maadili9, wakuu wa
idara na taasisi za Serikali zisizo chini ya wizara;10
48
4. Rais anaweza kutangaza vita kati ya Jamhuri ya Muungano na
nchi yoyote1
Madaraka ya Rais Tanzania kama ilivyo kwa nchi zingine zote, kwa
kiwango kikubwa ni matokeo ya historia ya nchi. Tanzania
ilitawaliwa na Wingereza tangu baada ya vita kuu ya kwanza ya
dunia mpaka ilipopata uhuru. Wakati wote, mwakilishi wa Mfalme
wa Uingereza, Gavana alikuwa na mamlaka yote ya Mkuu wa Nchi,
Mkuu wa Serikali na Amiri-Jeshi-Mkuu. Gavana alitawala kama
1961.
4 Kifungu cha 54
5 Kifungu cha 55, Kama ilivyo juu.
6 Kifungu cha 59, Kama ilivyo juu.
50
Nchi na Mkuu wa Serikali yaliunganishwa na kuwekwa kwa Rais.
Hivyo, Rais akawa Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa Serikali na Amiri-
Jeshi-Mkuu. Madaraka ya Rais yaliongezwa kwa mabadiliko
yaliyofuata ya Katiba na kuundwa ama kurekebishwa kwa sheria
mbalimbali. Madaraka hayo yaliimarika zaidi baada ya kuundwa
kwa Jamhuri ya Muungano baada ya iliyokuwa Jamhuri ya
Tanganyika na Jamhuri ya Zanzibar kuungana na baada ya
kuundwa kwa Katiba ya kudumu ya Jamhuri ya Muungano ya
Mwaka 1977.
kutoka kwa Mkandawire, T.(2011). Running While Others Walk: Knowledge and
the Challenge of Africa’s Development in Africa Development, Vol. XXXVI, No. 2,
2011, pp. 1– 36.
4 Nwabueze, B.O. (1974). Presidentialism in Commonwealth Africa, Hurst, London,
p. 1.
51
kumnyima kura yeye au wagombea anao waunga mkono au chama
chake kulingana na jinsi wanavyoridhika au kutoridhika na namna
anavyotumia madaraka yake. Hata hivyo, kuna mapungufu
ambayo yanaweza kuifanya njia ya uchaguzi ikashindwa kuwa
madhubuti katika kumfanya Rais awajibike ipasavyo.
1 Ibara ya 41(6).
2 Ibara ya 138(4)(a) ya Katiba ya Kenya.
3 Ibara ya 102 ya Katiba ya Uganda.
52
jukumu la kuratibu na kuendesha uchaguzi ikiwemo uchaguzi wa
Rais. Ili kuzuia uwezekano wa nchi kuongozwa na Rais ambaye
hajapatikana kihalali, Katiba ya Uganda ya Mwaka 1995 katika
ibara ya 104 inatoa mamlaka kwa Mahakama kuchunguza uhalali
wa matokeo ya Urais. Hivyo hivyo, Katiba ya Kenya ya Mwaka
2010, ibara ya 140 inatoa mamlaka kwa Mahakama kuchunguza
uhalali wa matokeo ya Urais.
1972, p. 16.
3 Ibara ya 46A ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977
53
na rushwa ambayo yangepaswa yatajwe moja kwa moja1. Katiba
haijafafanua hatima ya Rais baada ya kuondoka madarakani
kutokana na mashtaka dhidi yake kuthibitika zaidi ya kukosa
malipo ya pensheni na haki za Rais mstaafu. Pia, ingefaa Katiba
itamke bayana makosa yanayoweza kumuondoa Rais madarakani.
Katika kushughulikia changamoto hiyo, Katiba ya Marekani
inatamka kuwa Rais, Makamu wa Rais, na “Maafisa wote wa umma
wa Marekani” wanaweza kuondolewa madarakani na Bunge
wakitiwa hatiani kwa makosa ya rushwa, uhaini au uhalifu
mwingine mkubwa2. Bunge limepewa mamlaka ya kumshtaki na
kumuondoa Rais madarakani3. Mtu aliyeondolewa kwenye nafasi
ya Urais kwa njia hiyo, anakosa sifa ya kushika nafasi zingine za
heshima,kuaminiwa au faida ndani ya nchi. Pamoja na hivyo, mtu
huyo anaweza kushtakiwa na kuadhibiwa kwa mujibu wa sheria.4
Pili, Katiba imeorodhesha njia mbalimbali ambazo Bunge linaweza
kudhibiti madaraka ya Rais5. Hii ni pamoja na;
54
Hata hivyo, uwezo wa Bunge kudhibiti madaraka ya Rais na kuleta
uwajibikaji unaweza kuathiriwa na mambo mbalimbali ikiwemo
yafuatayo;
1 Angalia Sitta, S., Slaa, W., &Cheyo, J.M, (2008). Bunge Lenye Meno: A
Parliament with Teeth, for Tanzania. London. African Research Institute
2 Kwa mujibu wa ibara ya 67(2)(e) mtu hatakuwa na sifa ya kuwa Mbunge ikiwa
Parliament with Teeth, for Tanzania. London. African Research Institute pp 27-38
57
2007, Quentin Davies alihama chama cha Conservative na
kuhamia chama chama Labour kwa kutoridhishwa na mwenendo
wa chama chake. Marekani pia, vyama havina mamlaka ya
kumnyang’ang’anya mtu Ubunge kwa kumfukuza uanachama na
hivyo kuwafanya Wabunge kuwajibika zaidi kwa wapiga kura wao
kuliko kwa vyama vyao.
5.2 MAPENDEKEZO
Ili kuongeza uwajibikaji na kuongeza uthibiti wa madaraka ya Rais
mapendekezo inapendekezwa;
61
Mawaziri wasitokane na Wabunge ili kuongeza urari; ili
Bunge liweze kufanya kazi ya kumsimamia Rais ipasavyo.
Mawaziri wasipokuwa Wabunge kutaondoa mgongano wa
maslahi unaowakumba Mawaziri na Wabunge kati ya wajibu
wakiBunge na wajibu wa kiuWaziri. Mawaziri pia wataweza
kutumia muda wao na nguvu zao kwenye wizara zao
wakiondolewa mzigo wakushughulikia majimbo yao. Pia,
Mawaziri wasipokuwa Wabunge itampa Rais wigo mpana wa
kuteua Mawaziri wenye sifa zinazotakiwa. Mawaziri
watakuwa wanakutana na Wabunge kwenye kamati zao na
mbele ya Bunge kueleza sera zao na kujibu maswali ya
Wabunge;
62
Mahakama ziwe na uwezo wa kusikiliza malalamiko dhidi ya
uchaguzi wa Rais. Hata hivyo, ni muhimu kuwe na ukomo wa
kusikiliza shauri la namna hiyo;
63
SEHEMU YA SITA
"Besides the attribute of sovereignty, the law also ascribes to the King in his
political capacity absolute perfection. The King can do no wrong. "The King,
moreover, is not only incapable of doing wrong, but even of thinking wrong; he
can never mean to do an improper thing. In him is no folly or weakness."[Herbert
Barry, “The King Can Do No Wrong”, in Virginia Law Review, Vol. 11, No. 5 (Mar.,
1925), pp. 349-371, p.353]. Angalia pia Erwin Chemerinsky, “Against Sovereign
68
msingi wake, kama anavyosema Herbert Barry, ni kuwa Mfalme
siyo binadamu wa kawaida—hakuwa na udhaifu wowote wa
kibinadamu.1 Hali kadhalika, ilisemwa kuwa “Mfalme hawezi
kushtakiwa au kulazimishwa kujibu swali katika Mahakama zake
mwenyewe.”2 Hivyo, Mfalme alikuwa juu ya Mahakama na sheria.3
Kwa ufupi, kinga ya kushtakiwa kwa kiongozi wa nchi yenye
mfumo huo ilitokana na misingi hii ya utawala wa kifalme na nafasi
ya kipekee ambayo mfalme alipewa katika jamii ile.
Immunity”, in Stanford Law Review, Vol. 53, No. 5, Symposium: Shifting the
Balance of Power? The Supreme Court, Federalism, and State Sovereign
Immunity (May, 2001), pp. 1201-1224, pp.1201-1202.
1 Herbert Barry, “The King Can Do No Wrong”, in Virginia Law Review, Vol. 11,
Indianapolis, p. 518.
3 Mwanasheria maarufu wa Kiingereza katika karne ya 16, Sir Edward Coke,
1 Tafsiri kutoka kwenye maneno haya: “The societal interest in providing such
public officials with the maximum ability to deal fearlessly and impartially with
the public at large has long been recognized as an acceptable justification for
official immunity. The point of immunity for such officials is to forestall an
atmosphere of intimidation that would conflict with their resolve to perform their
designated functions in a principled fashion.”
2 Hii ni tafsiri toka maneno haya: “we hold that petitioner, as a former President
certain public servants immunity from suits for money damages arising out of
their official acts is inapplicable to unofficial conduct. In cases involving
prosecutors, legislators, and judges we have repeatedly explained that the
immunity serves the public interest in enabling such officials to perform their
designated functions effectively without fear that a particular decision may give
rise to personal liability.”
71
Mahakama iliamua kuwa Rais kushtakiwa Mahakamani au kupewa
amri na Mahakama haina maana ya kuingilia “msingi wa
mgawanyo wa mamlaka” (the doctrine of separation of powers)
ambao ni moja ya misingi muhimu katika Katiba ya Marekani.
History (Summer, 1998), pp.49-53, p.49 & 50]. Naye Rais Bill Clinton alizua
utata na mjadala mkali alipoamua, katika dakika za mwisho za awamu ya pili ya
Urais wake, kutoa msamaha kwa kaka yake, mtoto wa Waziri wake, Katibu wake
wa zamani, rafiki yake wa kisiasa, na mtu ambaye alitiwa hatiani kwa kukwepa
kodi kwa kiasi kikubwa cha fedha kuliko mtu mwingine katika historia ya nchi
hiyo.[Angalia Harold J. Krent, “Conditioning the President's Conditional Pardon
Power”, in California Law Review, Vol. 89, No. 6 (Dec., 2001), pp. 1665-1720,
pp.1666-1667. na, Charles Shanor & Marc Miller “Pardon Us: Systematic
Presidential Pardons”, Federal Sentencing Reporter, Vol. 13, No. 3-4, Pardon
Power and Sentencing Policy(November/December 2000 - January/February
2001), pp. 139-146, p.140]
1 Kamusi ya Sheria ya Black inaeleza kuwa maana “rationae materiae” ni kuwa
“kitokanacho na suala fulani” (By reason of the matter involved) [Angalia Bryan
A. Garner (ed.), (2009), Black's Law Dictionary, 9th edn, Thomson Reuters, St
Paul, Minnesota].
73
na kinga ya kibinafsi (rationae personae1). Maana yake ni kuwa
kiongozi wa nchi hawezi kushtakiwa kwa maamuzi aliyoyafanya
kama kiongozi wa Serikali (rationae materiae) na pia akiwa
madarakani hawezi kukamatwa kwa sababu mwili wake una kinga
(rationae personae). Kinga hizi, kama anayoeleza Dinstein, zinaenda
pamoja.2 Mahakama iliendelea kusema kuwa kiongozi akiondoka
madarakani anapoteza kinga ya kibinafsi (rationae personae) lakini
anabaki na kinga ya kiofisi (rationae materiae). Maana yake ni kuwa
hatoweza kushtakiwa kwa mambo yote aliyoyafanya katika
“kutimiza kazi za Kiserikali.” Mahakama ilienda mbele na kujiuliza:
“je, kutesa na kuua watu ni kazi za Serikali?”
I.C.L.Q. 76, at p.79. kama alivyonukuliwa na J. Craig Barker, Colin Warbrick and
Dominic McGoldrick, “The Future of Former Head of State Immunity after ex
parte Pinochet”, in The International and Comparative Law Quarterly, Vol. 48, No.
4 (Oct., 1999), pp. 937-949, p.940.
74
state or by the laws of other states. But international
law has made plain that certain types of conduct,
including torture and hostage-taking, are not
acceptable conduct on the part of anyone. This applies
as much to heads of state, or even more so, as it does
to everyone else; the contrary conclusion would make
a mockery of international law.
6.1.7 Muhtasari
75
wengine (the king can do no wrong). Mwandishi wa Kiingereza, Sir
Arthur Watts, anasema hivi;
1 Sir Arthur Watts, "The Legal Position in International Law of Heads of States,
Heads of Governments and Foreign Ministers" (1994) 247 Hague Recueil 9, at
p.53. kama alivyonukuliwa na J. Craig Barker, Colin Warbrick and Dominic
McGoldrick, “The Future of Former Head of State Immunity after ex parte
Pinochet”, in The International and Comparative Law Quarterly, Vol. 48, No. 4
(Oct., 1999), pp. 937-949, p.940.
2 Angalia Jean-Marie Henckaerts and Louise Doswald-Beck, (2009), Customary
78
Pili, sheria inasema kuwa Mahakama haiwezi kumwamuru Rais
kufika Mahakamani; haiwezi kumwamuru Rais kumleta mtu fulani
au kuleta kitu fulani. Vile vile kama kuna mwananchi ameiomba
Mahakama kumuita Rais, Mahakama haitakiwi kutoa amri ya
kumuita bali itamjulisha kuwa kuna maombi kama hayo ili iwe
hiari yake kuja au la. Sheria hii pia inaweza ikafanyiwa
marekebisho ili kumruhusu Rais kuwakilisha ushahidi wake
mahakamani pale inapohitajika. Ikiwa hivyo, Rais kama Mkuu wa
Nchi na raia nambari moja atakuwa anawaongoza wananchi
wengine katika kuimarisha mfumo wa utendaji haki. Utii wa amri
ya mahakama kwa Rais siyo kitu kigeni kama tunavyoweza kuona
kutoka huko ambako taasisi ya Urais imetokea. Katika shauri la
Clinton v Jones (95-1853), 520 U.S. 681 (1997) Mahakama ya Juu
ya Marekani ilisema hivi;
79
nyaraka au vitu vingine vinavyohitajika ili haki itendeke.
Wamekuwa ni watu watiifu wa sheria na mfano mzuri kwa raia
wengine.
6.2 MAPENDEKEZO
6.2.1 Uwepo wa Kinga
Kama ilivyoelezwa mwanzoni, kuna maoni kuwa kinga ya Rais
iondolewe. Mojawapo ya sababu zinazotolewa ni kuwa Rais
anaweza kufuja mali ya umma, hivyo inafaa awajibishwe; nchi
inaongozwa na utawala wa sheria; na kwamba binadamu wote ni
sawa. Baada ya kufanya marejeo mbalimbali, tunaona kuwa ni
muhimu Rais kama kiongozi wa nchi awe na kinga. Ofisi ya Rais
ina nafasi ya kipekee katika mfumo wetu wa Kikatiba: Rais
amepewa majukumu mengi. Anatakiwa kuhakikisha kuwa nchi ina
amani na utengamano. Analo jukumu la kuhakikisha kuwa nchi
inasonga mbele kiuchumi, kijamii na kisiasa. Anao wajibu wa
kusimamia nidhamu ya viongozi na watumishi wengine wa Serikali.
Anayo majukumu mengine kadha wa kadha.
80
kwanza ni “utendaji” (functional necessity or theory). Rais apewe
kinga ambayo itamuwezesha kufanya kazi yake bila hofu ya
kushtakiwa mara kwa mara na aweze kutumia muda na nguvu
zake katika kuiongoza Serikali katika kutekeleza sera, mipango na
matakwa ya wananchi.
82
SEHEMU YA SABA
1 The Report on the Commission on Corruption, Volume 1 (Chapter 1-5), pg. 76.
2 Tume ya Rais ya Mfumo wa Chama Kimoja au vyama vya siasa Tanzania,
Kitabu cha Kwanza, Uk.133
3 Kamati ya Kuratibu Maoni Kuhusu Katiba, Kitabu cha Kwanza, 1999, uk.77.
84
Utaratibu huu unamsaidia Rais kuwapata watu anaowataka
ambao yeye anaona wanafaa kufanya nao kazi; na
7.2.1 Ufaransa
Nchini Ufaransa, Rais ni Mkuu wa Nchi na Amiri-Jeshi-Mkuu na
jukumu lake kubwa ni kuhakikisha kuwa Katiba ya nchi inalindwa
na taasisi za umma zinafanya kazi vyema, ni mlinzi wa uhuru na
mipaka ya nchi.3 Kwa kuwa Mkuu wa Nchi, Rais amepewa
madaraka ya kumteua Waziri Mkuu, na kuwateua Mawaziri kwa
kushauriana na Waziri Mkuu.4 Rais amepewa mamlaka ya kufanya
uteuzi wa baadhi ya viongozi na watendaji wa kiraia na kijeshi
ambao nafasi zao zinahitaji Uteuzi wa Mkuu wa Nchi na Amiri-
Jeshi-Mkuu. Rais amepewa madaraka ya uteuzi wa Mabalozi,
Republic shall ensure due respect for the Constitution. He shall ensure, by his
arbitration, the proper functioning of the public authorities and the continuity of the
State.”
He shall be the guarantor of national independence, territorial integrity and due
respect for Treaties.
4 Ibara ya 8 ya Katiba ya Ufaransa ya Mwaka 1958. Ibara hiyo inasema
kuwa « the President of the Republic shall appoint the Prime Minister. He shall
terminate the appointment of the Prime Minister when the latter tenders the
resignation of the Government. On the recommendation of the Prime Minister, he
shall appoint the other members of the Government and terminate their
appointments.”
86
viongozi wa juu wa majeshi, wakurugenzi mbalimbali wa idara za
Serikali, wakuu wa taasisi za elimu, wakaguzi wa mahesabu ya
Serikali na Wakuu wa Mikoa. Sheria zinaweza kuainisha nafasi
zingine zaidi ya hizo hapo juu ambazo uteuzi wake utafanywa na
Rais. Uteuzi huo unafanyika kwenye mikutano ya Baraza la
Mawaziri lakini lazima uteuzi uthibitishwe na Bunge. Mamlaka ya
uteuzi ya Rais yatafanyika kwa kushauriana na kamati husika za
Bunge. Rais hatafanya uteuzi ikiwa theluthi mbili ya kura za
kamati za Bunge zinazohusika zitakataa.1
7.2.2 Finland
Rais ni Mkuu wa Nchi na Amiri-Jeshi-Mkuu. Rais anachangia
madaraka na Waziri Mkuu ambaye ndiye kiongozi wa Serikali. Rais
anamteua Waziri Mkuu na huthibitishwa na Bunge. Rais pia
anateua Mawaziri wengine kwa ushauri wa Waziri Mkuu.3 Rais
anateua Makatibu Wakuu wa wizara, Mabalozi na viongozi wengine
ambao Katiba na sheria zinaona kuwa zinahitaji kuteuliwa na
mamlaka ya kipekee ya Rais kama Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi.
Rais pia anateua Maofisa wa vyombo vya ulinzi na usalama.4
Viongozi na watendaji wa dola wengine wanateuliwa na Serikali
kupitia mamlaka mbalimbali za nchi.5
7.3 MAPENDEKEZO
Kuna haja ya kutenganisha shughuli za Mkuu wa Nchi na kiongozi
wa Serikali ili Rais abaki zaidi na majukumu ya Mkuu wa Nchi na
Amiri-Jeshi-Mkuu na shughuli za Serikali ziwe kwa kiwango
87
kikubwa chini ya Waziri Mkuu. Ikiwa hivyo, Rais atabaki na
madaraka ya kumteua Waziri Mkuu, Mawaziri, wakuu wa vyombo
vya ulinzi na usalama, Mabalozi, watendaji na viongozi wengine
ambao uteuzi wao unahitaji mamlaka ya kipekee ya Mkuu wa Nchi
na Amiri-Jeshi-Mkuu.
88
ORODHA YA WATEULE WA RAIS
IKULU NA WIZARA
5. Makatibu Wakuu wa wizara The Public Service Act, 2002 5(1) (a)
zote
89
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
9. Mwanasheria Mkuu wa Katiba 59 (1)
Serikali
90
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
17. Wajumbe wa Tume ya Katiba 112(2); 112 (2) Jaji Mkuu
Utumishi wa Mahakama (c); kuhusiana na
uteuzi wa Jaji
wa Rufaa
kama mjumbe
91
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
24. Mwenyekiti, Makamu na Katiba 134 (1)
Wajumbe wa Tume ya
Pamoja ya Fedha
26. Kamishna wa Bima/ Naibu The Insurance Act, 2009 7(1), 8(1)
Kamishna wa Bima
27. Gavana wa Benki Kuu na The Bank of Tanzania Act, 8(1) & (3)
Manaibu wake watatu 2006
28. Mhasibu Mkuu wa Serikali The Public Finance Act, Cap 7(1)
348 [R.E 2002]
31. Mwenyekiti wa Bodi, TRA Tanzania Revenue Authority 10(1) (a) Waziri wa
Act Cap 339 [R.E 2002] Fedha
92
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
33. Kamishna wa Kitengo cha The Anti-Money Laundering 5(1)
Kupambana na Fedha Act, 2006
Haramu
Appeals Authority)
Appeals Authority)
93
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
la Mitihani Tanzania(NECTA) Council of Tanzania, Cap 107
[R.E 2002]
39. Mwenyekiti wa Baraza la The National Council for 4(1) (a) Waziri wa
Taifa la Elimu ya Ufundi Technical Education Act, Cap Elimu
(NACTE) 129 [R.E 2002]
41. Mwenyekiti wa Bodi, The Education Fund Act, Cap 7(2) na Jedwali
Mamlaka ya Elimu Tanzania 412 [R.E 2002] la Kwanza, Kif
2(1) (a)
42. Wakuu wa Vyuo Vikuu vya The Universities Act, 2005. 35 (1)
Umma (Chancellors)
43. Mkuu wa Chuo, Chuo Kikuu The Universities Act, 2005 35(1), Baraza la
cha Dar es Salaam Chuo
45. Mkuu wa Chuo, Chuo Kikuu The Universities Act, 2005 35(1), Baraza la
cha Sokoine Chuo
47. Mkuu wa Chuo, Chuo Kikuu The Universities Act, 2005 35(1), Baraza la
Huria cha Tanzania Chuo
49. Mkuu wa Chuo, Chuo Kikuu The Universities Act, 2005 35(1) Baraza la
Mzumbe Chuo
51. Mkuu wa Chuo, Chuo Kikuu The Universities Act, 2005 35(1), Baraza la
cha Afya na Sayansi za Tiba, Chuo
Muhimbili
53. Mkuu wa Chuo, Chuo Kikuu The Universities Act, 2005 35(1), Baraza la
cha Ardhi Chuo
95
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
54. Mwenyekiti wa Baraza la The Universities Act, 2005 44 (3) Waziri
Chuo, Chuo Kikuu cha
Ardhi
55. Mkuu wa Chuo, Chuo Kikuu The Universities Act, 2005 35(1) Baraza la
cha Dodoma Chuo
57. Mkuu wa Chuo, Chuo Kikuu The Universities Act, 2005 35(1) Baraza la
cha Nelson Mandela Chuo
59. Makamu Mwenyekiti, Tume The Planning Commission Act, 4(4) Baraza la
ya Mipango Cap 314 [R.E.2002] Chuo
96
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
2002]
66. Mwenyekiti wa Bodi, The Education Fund Act, Cap 7(2) na Jedwali
Mamlaka ya Elimu Tanzania 412 [RE 2002]. la Kwanza, Kif
2(1) (a)
67. Mkuu wa Chuo, Chuo Kikuu The Universities Act, 2005 35(1), Baraza la
cha Dar es Salaam Chuo
97
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
69. Mkuu wa Chuo, Taasisi ya The Mwalimu Nyerere Memorial 11(1) Waziri wa
Kumbukumbu ya Mwlimu Academy Act, 2005 Elimu
Nyerere
74. Mwenyekiti wa Bodi, Chuo The College of Wildlife 4(3) na kif Mwenyekiti wa
cha Wanyama Pori Management Act, Cap 209 [R.E 2(1)(a) cha Bodi, Chuo
2002]. Jedwali cha wanyama
Pori
98
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
Elimu, Kibaha 2 of 1970.
80. Mwenyekiti, Bodi ya Pamba The Tanzania Cotton Lint and 3(3) na Waziri wa
Seed Board Act, Cap 201 [R.E Jedwali- kif Kilimo
2002]. 1(1) (a).
100
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
91. Mkuu wa Majeshi(JWTZ) Katiba; The National Defence Ibara ya 148(2)
Act, Cap 192 [RE 2002] (a) ya Katiba;
Kifungu 15(1)
cha Sura ya
192
92. Makamanda wa vikosi The National Defence Act, Cap 16(1) Mkuu wa
mbalimbali vya JWTZ 192 [R.E 2002] Majeshi
101
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
99. Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa The Parole Boards Act, Cap 400 3(2)(a)
ya Parole [R.E 2002]
100. Rais wa Mahakama Maalum The Special Tribunals Act Cap 4(1)
ya Kijeshi na wajumbe 126 [R.E 2002]
wengine wasiopungua wawili
102. Mkurugenzi Mkuu, Tume ya The Atomic Energy Act, 2003 7(1)
Nishati Mionzi
102
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
(Establishment) Order, G.Ns.
Nos.140 of 1969 and
43 of 1985
109. Mwenyeki wa Bodi ya The Dar es Salaam Water and 21(1) (a)
DAWASA Sewerage Authority
(Amendment) Act, 2001
103
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
Tanzania 2009 ya Kwanza
114. Mwenyekiti wa Baraza la The Fair Competition Act, 2003 83(2)(a) Jaji Mkuu
Ushindani wa Kibiashara
(Fair Competition Tribunal)
115. Wajumbe sita wa Baraza la The Fair Competition Act, 2003 83(2)(b) Mwanasheria
Ushindani wa Kibiashara Mkuu
116. Mwenyekiti wa Bodi ya The Tax Revenue Appeals Act, 8(2) (a) Jaji Mkuu
Rufaa za Kodi (The Tax Cap 408 [R.E 2002]
Revenue Appeals Board)
104
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
120. Mkurugenzi Mtendaji, Kituo The Tanzania Investment Act, 10
cha Uwekezaji Cap 38 [R.E 2002]
122. Mkurugenzi Mkuu, Idara ya The Meteorology Act, Cap 157 5(2)
Hali ya Hewa [R.E 2002]
124. Mwenyeti wa Bodi ya The National Parks Act, Cap 8 na kif 1(2)cha
Wadhamini ya Mbuga za 282 [R.E 2002]. Jedwali
Wanyama za Taifa
125. Wajumbe wa Bodi ya The National Parks Act, Cap 8 na kif 1(1) (b)
Wadhamini ya Mbuga za 282 [RE 2002] cha Jedwali
Wanyama za Taifa
105
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
Hifadhi ya Ngorongoro Area Act, Cap 284 [R.E 2002]
134. Mwenyekiti wa Baraza la The Labour Institutions Act, 16(3)(a) Waziri wa Kazi
Usuluhishi na 2004
106
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
Upatanishi(Commission for
Mediation and Arbitration)
135. Makamishna wawili wa The Labour Institutions Act, 16(3)(b) Waziri wa Kazi
Baraza la Usuluhishi na 2004
Upatanishi wanaowakilisha
maslahi ya waajiri
136. Makamishna wawili wa The Labour Institutions Act, 16(3)(c) Waziri wa Kazi
Baraza la Usuluhishi na 2004
Upatanishi wanaowakilisha
maslahi ya wafanyakazi
137. Makamishna wawili wa The Labour Institutions Act, 16(3)(d) Waziri wa Kazi
Baraza la Usuluhishi na 2004
Upatanishi wanaowakilisha
Serikali
138. Kamishna wa Maadili, Tume The Public Code of Ethics Act, 19(3)
ya Maadili ya Viongozi Cap 398 [RE 2002]
139. Mwenyekiti wa Bodi na The Social Security (Regulatory 7(1) & 12(1)
Mkurugenzi Mkuu wa Authority Act, 2008
Mamlaka ya Usimamizi wa
Mifuko ya Jamii (SSRA)
107
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
140. Mkurugenzi Mkuu wa LAPF The Local Authorities Pension 8(1)
Fund Act, 2006
108
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
147. Wakurugenzi watendaji wa The Public Service Act, 2002 5(1)(a)
Serikali za mitaa
148. Wakuu wa Mikoa na Wakuu The Public Service Act, 2002 5(1)(d)
wa Wilaya
149. Makatibu Tawala wa Mikoa The Public Service Act, 2002 5(1)(a)
yote
151.
109
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
155. Kamishna wa Ardhi The Land Act, Cap 113 [R.E 9(1)
2002]
157.
111
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
Order, G.N. No. 90 of 1969
175. Msajili wa Vyama vya Siasa The Political Parties Act, Cap 4(1)
112
Mf Kiongozi/Ofisa Sheria Ibara/kifungu Kuthibitishwa
/kushauriana
258 [R.E 2002]
176. Naibu Msajili wa Vyama vya The Political Parties Act, Cap 4(1)
Siasa 258 [R.E 2002]
113
SEHEMU YA NANE
114
inapendekezwa kuwa ingawa Rais atapendekezwa na chama chake,
Katiba imzuie kushika nafasi za uongozi wa chama.
117
8.1.6 Udhibiti wa Madaraka ya Rais na Uwajibikaji
118
anaupendelea. Badala yake, swala husika lipelekwe
Mahakamani au kwenye kura za maoni (referendum) kadiri
itakavyofaa;
119
akitenda uhalifu au kuuhujumu uchumi akiwa madarakani
asiruhusiwe kujificha nyuma ya kivuli cha kinga,
awajibishwe. Hata hivyo, wakati wa kuandika Katiba inafaa
kuzingatia kuwa Rais ana kazi nyingi, anaongea na watu
wengi, na anapata changamoto nyingi. Inawezekana akafanya
kitendo fulani bila kujua kuwa kitendo hicho ni kinyume cha
sheria. Hivyo, ni vizuri Katiba ieleze bayana kuwa Rais
atawajibishwa kwa kufanya vitendo vile ambavyo “kiuwazi ni
kinyume cha sheria” (manifestly unlawful) tu. Mathalan,
haitokuwa utetezi kusema Rais hakujua kama kuua au
kutesa watu, au kuchukua fedha za umma kunazuiwa na
sheria;
121
BIBLIOGRAFIA
Vitabu
122
Makala
123
Ferguson, Margaret Robertson (2003). Chief Executive Success in
the Legislative Arena, State Politics & Policy Quarterly, Vol. 3, No. 2
(Summer, 2003), pp. 158-182.
124
Mazrui, Ali A., “Anti-Militarism and Political Militancy in Tanzania”,
in The Journal of Conflict Resolution, Vol. 12, No. 3 (Sep., 1968),
pp. 269-284.
http://www.kituochakatiba.org/index2.php?option=com_docman&t
ask=doc_view&gid=179.
125
Power and Sentencing Policy(November/December 2000 -
January/February 2001), pp. 139-146.
Sitta, S., Slaa, W., &Cheyo, J.M, (2008). Bunge Lenye Meno: A
Parliament with Teeth, for Tanzania. London. African Research
Institute.
Usher, Roland G., “James I and Sir Edward Coke”, in The English
Historical Review”, Vol. 18, No. 72 (Oct., 1903), pp. 664-675.
127